Madunga Vetagro

Madunga Vetagro Madunga Vetagro Center Ltd is a Livestock and Agricultural Input Services Center. We sell veterinary

๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ HABARI NJEMA KWA WAFUGAJI WOTE! ๐Ÿฎ๐Ÿ”โ€‹Tunapenda kuwatangazia wateja wetu na wafugaji wote kuwa bidhaa pendwa ya STELADO...
27/03/2026

๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ
HABARI NJEMA KWA WAFUGAJI WOTE! ๐Ÿฎ๐Ÿ”
โ€‹Tunapenda kuwatangazia wateja wetu na wafugaji wote kuwa bidhaa pendwa ya STELADONE sasa imewasili na inapatikana katika maduka yetu yote ya Madunga Vetagro Centre Ltd.
โ€‹Tunafahamu umuhimu wa afya ya mifugo yako, ndiyo maana tunakuletea bidhaa bora zaidi kwa ajili ya kinga na kudhibiti kupe wasumbufu kwa mifugo yako.

โ€‹โœ… Kwanini ununue kwetu?
โœ”๏ธ โ€‹Bidhaa ni halisi na imethibitishwa.
โœ”๏ธ โ€‹Bei zetu ni rafiki kwa mfugaji (Jumla na Rejareja).
โœ”๏ธ โ€‹Tunatoa ushauri wa kitaalamu jinsi ya kutumia bidhaa zetu.

โ€‹๐Ÿ“ Wahi sasa kabla mzigo haujaisha!
โ€‹๐Ÿ“ž Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi au kuweka oda:
๐Ÿ‘‰ 0686 066 799
๐Ÿ‘‰ 0765 109 150
โ€‹Madunga Vetagro Centre Ltd โ€“ Mshirika wa Kweli wa Mfugaji.

TERMIFIXKiuadudu mahususi kwa kudhibiti MCHWA kwenye majengo, ujenzi, mbao, nguzo, kwenye udongo na vichuguu.๐Ÿ“ŒJINSI YA K...
21/01/2026

TERMIFIX
Kiuadudu mahususi kwa kudhibiti MCHWA kwenye majengo, ujenzi, mbao, nguzo, kwenye udongo na vichuguu.

๐Ÿ“ŒJINSI YA KUTUMIA:
Changanya TERMIFIX kwenye maji safi, ambapo intumika kwa 125ml kwa 100ltr za maji. _(Soma kibandiko kabla ya kutumia)_

๐ŸšซTAHADHARI
Ni sumu inayoweza kuwasha ikiingia kwenye macho/ngozi. Kumbuka kujikinga vizuri kabla hujatumia kuepusha madhara. Nawa vizuri kwa maji safi na sabuni baada ya kuitumi. Weka mbali na wototo/wanyama.

๐Ÿ“Inapatikana Madunga Vetagro Cetre Ltd, wasiliana nasi;
0686066799 Mapinga Bagamoyo Ofisi
0765109150 Ubungo-DSM Ofisi
0787794788 Bwawani Morogoro Ofisi
0765109155 Babati Manyara Ofisi

ZINGATIA HAYA KATIKA UFUGAJI WAKO WA KUKUUfugaji wa kuku ni mradi mkubwa, na magonjwa ni wasiwasi mkubwa.  Hapa kuna muh...
25/12/2025

ZINGATIA HAYA KATIKA UFUGAJI WAKO WA KUKU
Ufugaji wa kuku ni mradi mkubwa, na magonjwa ni wasiwasi mkubwa.
Hapa kuna muhtasari wa magonjwa ya kawaida ya kuku, sababu zao na suluhisho:
Magonjwa ya Bakteria
1. Colibacillosis (E. coli): Husababisha kuhara, upungufu wa maji mwilini, kupunguza uzalishaji na vifo.
๏ถ Suluhisho: Kuboresha usafi wa mazingira, kujenga mabanda bora na matumizi ya antibiotics (mfano: Enrofloxacin, Oxytetracycline, Sulfonamides).
2. Salmonellosis: Husababisha kuhara, upungufu wa maji, kupunguza uzalishaji, na vifo.
๏ถ Suluhisho: Kuboresha usafi wa banda na mazingira, kuzuia ndege wengine na panya, kutumia disinfectants, chanjo, na antibiotics (mfano: Ciprofloxacin, Neomycin, Oxytetracycline, Enrofloxacin).
3. Kipindupindu cha kuku (Fowl cholera): Husababisha vifo, kuharisha majimaji, upungufu wa maji, kukosa hamu ya kula, kupunguza uzalishaji na msongo wa mawazo (stress).
๏ถ Suluhisho:Usafi wa banda na antibiotics (mfano: Sulfonamides, Oxytetracycline).
4. Mafua (Infectious coryza): Husababisha kuvimba macho na uso, kutoa k**asi, kukoroma, kupiga chafya, macho kutoa uchafu, kupunguza uzalishaji na vifo.
๏ถ Suluhisho: Usafi wa banda, kujenga banda bora lenye hewa na antibiotics (mfano: tylosin-doxycycline, Oxytetracycline, Enrofloxacin)
Magonjwa ya Virusi
1. Ugonjwa wa kideri (Newcastle disease): Husababisha matatizo ya kupumua, kuhara, na vifo.
๏ถ Suluhisho: Chanjo (mfano: Lasota au Newcastle eye drop).
Hii wanapewa siku ya 7 baada ya kutotoleshwa na kuiridia siku ya 21 na kuiridia tena kila baada ya miezi 3.
2. Infectious Bronchitis: Husababisha matatizo ya kupumua na kupungua kwa uzalishaji wa mayai.
๏ถ Suluhisho:Chanjo (Newcatle +IB).
3. Mafua makali ya ndege (Avian Influenza): Husababisha matatizo ya kupumua, kupungua kwa uzalishwaji wa mayai na vifo.
๏ถ Suluhisho:Chanjo, usalama wa viumbe hai, na kuwaua ndege walioambukizwa.
4. Gumboro/Infectious Bursal Disease(IBD): Husababisha kuhara maji,upungufu wa maji na vifo kwa vifaranga
๏ถ Suluhisho: (chanjo), siku ya 14 na 28.
Magonjwa ya protozoa
1. Coccidiosis: Husababisha kuhara damu, upungufu wa maji mwilini, na vifo.
๏ถ Suluhisho: Usafi wa banda, kuondoa unyevu na dawa (anticoccidial/coccidiostat), mfano: Amprolium, Sulfonamides.
Utitiri na Chawa
Husababisha muwasho wa ngozi, upungufu wa damu, na kupungua kwa tija.
๏ถ Suluhisho:Dawa za wadudu wa nje (kwa mfano: oral Ivermectin).
Magonjwa ya Kuvu
1. Aspergillosis: Husababisha matatizo ya kupumua na vifo kwa vifaranga.
๏ถ Suluhisho: Banda bora lenye hewa, lisha chakula kikavu, geuza maranda, tumia disinfectants.

HATUA ZA JUMLA ZA KUZUIA NA KUDHIBITI MAGONJWA
1. Biosecurity: Tekeleza itifaki kali za usalama wa viumbe ili kuzuia kuanzishwa na kuenea kwa magonjwa.
2. Usafi wa mazingira: Dumisha hali ya maisha safi na kavu.
3. Chanjo: Tengeneza programu ya chanjo iliyoundwa kulingana na mahitaji ya kuku wako.
4. Ufuatiliaji: Fuatilia mara kwa mara afya na tabia ya kuku wako.
5. Zuia ndege na panya wasiingie shambani kwako, kwani wanabeba vimelea vya magojwa.

RASILIMALI MUHIMU
1. Daktari wa Mifugo: Wasiliana na daktari wa mifugo mwenye uzoefu wa afya ya kuku.
2. Miongozo ya Afya ya Kuku: Rejea miongozo inayotambulika, k**a vile Mwongozo kutoka Madunga Vetagro Centre Ltd.

Hii si orodha kamili, na udhibiti wa magonjwa unaweza kutofautiana kulingana na eneo lako mahususi, uwingi wa kuku na mfumo wa uzalishaji. Wasiliana na daktari wa mifugo au mtaalam wa kuku ili kuunda mpango kamili wa afya kwa kuku wako au tembelea dukani kwetu Madunga Vetagro Centre Ltd kwa huduma Zaidi.

SIMU ZA OFISI
Mapinga Ofisi 0686 066799
Ubungo Ofisi 0765 109150
Babati Ofisi 0765 109155
Bwawani Ofisi 0787 794788

Email [email protected]

Kirutubisho cha "SUPER VITAMIN" kilichoonyeshwa kwenye picha kinauzwa kwa kuku na hutoa manufaa kadhaa kwa kuku, kwa kaw...
19/12/2025

Kirutubisho cha "SUPER VITAMIN" kilichoonyeshwa kwenye picha kinauzwa kwa kuku na hutoa manufaa kadhaa kwa kuku, kwa kawaida ikiwa ni pamoja na:

1. Ukuaji ulioboreshwa na kuongeza uzito - huwasaidia ndege kukua haraka na kufikia uzito wa soko haraka.
2. Uzalishaji wa yai ulioimarishwa - huongeza utendaji wa utagaji na ubora wa yai.
3. Kinga kali zaidi - inasaidia mfumo wa kinga kupunguza hatari ya magonjwa.
4. Ufanisi bora wa chakula - huwasaidia ndege kufaidika na malisho yao.
5. Afya kwa ujumla na uhai - hutoa vitamini na madini muhimu kwa ustawi wa jumla.

Aidha, bidhaa hii pendwa inapatikana Maduka yote ya Mifugo yaliyo karibu yako, pia waweza kuwasiliana nasi kwa huduma zaidi kupitia;
๐Ÿ“ž 0686066799 Mapinga Ofisi (WhatsApp)
๐Ÿ“ž 0765109150 Ubungo Ofisi (WhatsApp)
๐Ÿ“ž 0787794788 Bwawani Ofisi
๐Ÿ“ž 0765109155 Babati Ofisi
๐Ÿ”๐Ÿ’Š

๐Ÿ›‘๐Ÿ›‘๐Ÿ›‘Uongozi wa Madunga Vetagro Cetre Ltd unayofuraha kubwa kukukaribisha Mteja wetu mpendwa kwa huduma. Ofisi zetu zote z...
18/12/2025

๐Ÿ›‘๐Ÿ›‘๐Ÿ›‘
Uongozi wa Madunga Vetagro Cetre Ltd unayofuraha kubwa kukukaribisha Mteja wetu mpendwa kwa huduma. Ofisi zetu zote zimefunguliwa tukiwa tayari kukuhudumia. Tupigie sasa,
๐Ÿ“ž 0686066799 Mapinga Ofisi
๐Ÿ“ž 0765109155 Babati Ofisi
๐Ÿ“ž 0765109150 Ubungo Ofisi
๐Ÿ“ž 0787794788 Bwawani Ofisi

18/12/2025

Karibu kwenye group letu la wafugaji/wakulima uwe wa kwanza kupata taarifa zetu moja kwa moja.

DM sasa nikutumie link ya group,

๐‘๐‘– ๐‘๐‘ข๐‘Ÿ๐‘’!!! 0746600617

BIDHAA PENDWA KABISA GROWSOON, DCP SOLUTION, SUPER VITAMIN NA BROILER BOOST KUTOKA MADUNGA VETAGRO CENTRE LTD.0686066799...
08/09/2023

BIDHAA PENDWA KABISA GROWSOON, DCP SOLUTION, SUPER VITAMIN NA BROILER BOOST KUTOKA MADUNGA VETAGRO CENTRE LTD.
0686066799 /0765109150
UBUNGO-DSM, MAPINGA-BAGAMOYO

PARAFIX KIBOKO YA KUPE, VIROBOTO, PAPASI, CHAWA, MBUNG'O, KWA NG'OMBE, MBUZI, MBWA, KONDOO, FARASI, N.K JIPATIE SASA BID...
08/09/2023

PARAFIX KIBOKO YA KUPE, VIROBOTO, PAPASI, CHAWA, MBUNG'O, KWA NG'OMBE, MBUZI, MBWA, KONDOO, FARASI, N.K JIPATIE SASA BIDHAA YAKO KUTOKA MADUNGA VETAGRO CENTRE LTD KWA TSH 45,000 TU KWA LITA

0686066799 / 0765109150

UBUNGO-DSM, MAPINGA-BAGAMOYO

Shehena ikipakia mzigo wa kutosha kuelekea Manyara, karibuni sana wafugaji wasiliana nasi kujipatia bidhaa yako bora kwa...
18/01/2023

Shehena ikipakia mzigo wa kutosha kuelekea Manyara, karibuni sana wafugaji wasiliana nasi kujipatia bidhaa yako bora kwa mifugo yako.



0686066799 | 0765109150 | 0787794788 | 0765109155

Amka nasi leo, tupo kwa ajili yako. Piga 0686066799 (whatsapp)
09/01/2023

Amka nasi leo, tupo kwa ajili yako. Piga 0686066799 (whatsapp)

Address

Dar Es Salaam
40704

Opening Hours

Monday 07:00 - 19:00
Tuesday 07:00 - 19:00
Wednesday 07:00 - 19:00
Thursday 07:00 - 19:00
Friday 07:00 - 19:00
Saturday 07:00 - 19:00
Sunday 08:00 - 14:00

Telephone

+255765109150

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Madunga Vetagro posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Madunga Vetagro:

Share

Category