Mbena Farm

Mbena Farm Tunauza Vifaa vya Ufugaji na Kilimo
Incubators
Cages
Feeding Mixer Greinder
Pellet machine n.k

Faida za kutumia cage ya automatic kwa kuku wa mayai ni nyingi:Huokoa muda na nguvu – Kulisha, kunywesha na kukusanya ma...
04/06/2026

Faida za kutumia cage ya automatic kwa kuku wa mayai ni nyingi:

Huokoa muda na nguvu – Kulisha, kunywesha na kukusanya mayai hufanyika kwa urahisi zaidi.

Mayai yanakuwa safi – Mayai hujikusanya sehemu maalum hivyo hayachafuki kirahisi.

Hupunguza upotevu wa chakula – Mfumo wa kulishia hupunguza kumwagika kwa chakula.

Huongeza uzalishaji wa mayai – Kuku hupata mazingira mazuri na huduma za uhakika.

Usafi ni rahisi kudhibiti – Kinyesi hukusanywa kwa mfumo maalum na kupunguza harufu.

Hupunguza magonjwa – Kuku hawagusani sana na kinyesi chao.

Huongeza idadi ya kuku kwa nafasi ndogo – Inatumia eneo kwa ufanisi zaidi.

Hupunguza gharama za wafanyakazi – Watu wachache wanaweza kuhudumia kuku wengi.
Cage ya automatic inafaa sana kwa mfugaji anayelenga uzalishaji mkubwa wa mayai na usimamizi wa kisasa wa shamba la kuku.

Mawasiliano yetu ni 0787134746

TUNAPATIKANA DAR es SALAAM UBUNGO LIVER SIDE 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

01/06/2026

MASHINE YA KUTENGENEZA PELLET INAPATIKANA! 🔥

Je, unajihusisha na ufugaji wa kuku, samaki, ng'ombe au nguruwe? Sasa unaweza kutengeneza chakula chako mwenyewe kwa ubora wa juu na gharama nafuu.

✅ Uzalishaji mkubwa na wa haraka
✅ Hupunguza gharama za chakula cha mifugo
✅ Rahisi kutumia na kudumu muda mrefu
✅ Inatengeneza pellet zenye ubora kwa kuku, samaki na mifugo mingine

Wahi kuagiza sasa kwa bei nzuri na ushauri wa bure kuhusu matumizi yake.

📞 Wasiliana nasi: [+255787134746]
Huduma za usafirishaji zinapatikana popote Tanzania.”

Mashine za pellet hutumika kutengeneza chakula cha mifugo au samaki katika mfumo wa punje (pellets) kwa ufanisi mkubwa

27/05/2026



TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM UBUNGO LIVER SIDE

+255787-134-746

27/05/2026



+255787-134-746

TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM UBUNGO LIVER SIDE

25/05/2026

20/05/2026
19/05/2026

David lee # wafugaji WA kisasa dodoma mwanza bagamoyo Tanzania

0787134746
0746134745

18/05/2026



0787134746
0746134748 hii WhatsApp

18/05/2026

Karibu m bena farm sis mi wauzaji na wasambazaji WA bidhaa zote zinazousu ufugaji wakuku kisasa

Tnapatika DAR es SALAAM UBUNGO LIVER SIDE
Mawasiliano yetu tupige +2554787-134-746
Kwanjia ya WhatsApp +255746-134-745

Tupopia kwenye mtandao ya kijamii yote
TUNAPATIKANA kahuna la bena farm

ya wazuri mkuu

Address

Ubungo Riverside
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mbena Farm posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mbena Farm:

Share

Category