31/05/2026
Asanteni sana wafugaji wa Kanda ya Ziwa kwa kutembelea banda la Koudijs katika Maonesho ya Mifugo yaliyofanyika Usanda, Shinyanga.
Furaha yetu ni kuona mnaendelea kuchukua hatua za kuboresha ufugaji wenu kupitia lishe bora na ushauri wa kitaalamu. Ushiriki wenu umetupa hamasa ya kuendelea kuwaletea suluhisho bora za kuongeza uzalishaji na faida katika biashara ya mifugo.