Freemarket Tanzania

Freemarket Tanzania Freemarket Tanzania ni wauzaji wa bidhaa mbalimbali

TUNAUZA MIFUKO YA KUPANDIA MIMEA (MAUA, MICHE NA MBOGAMBOGA) | WE ARE SELLING GARDEN BAG PLANT | GROWING BAGSCall/Text/W...
22/01/2024

TUNAUZA MIFUKO YA KUPANDIA MIMEA (MAUA, MICHE NA MBOGAMBOGA) | WE ARE SELLING GARDEN BAG PLANT | GROWING BAGS

Call/Text/WhatsApp: +255 789 08 19 72



Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

Mifuko hii ipo ya size tofauti tofauti. Na bei zake, inategemea ukubwa wa mfuko na idadi ambayo mteja atahitaji.

Bei za mifuko mifuko ya kupandia mimea (Price of planting bags/growing bags).

Mifuko 1 - 9
40cm X 40cm Bei: 1,000Tsh
25cm X 25cm Bei: 700Tsh
16cm X 16cm Bei: 250Tsh
10cm X 10cm Bei: 100Tsh

Hii ni mifuko inayotumika kupandia miche au maua kwenye bustani, watengenezaji wa miche wanapenda sana kutumia mifuko hii kuoteshea miche.

Uzuri wa hii mifuko ni kwamba haiwezi kuharibiwa kirahisi na mwanga wa jua, hivyo inadumu muda mrefu.

Mifuko hii ni imara sana haiwez kuharibika kirahisi kwa kupasuka au kupungua uimara wake.

Mifuko hii ya kupandia mimea tunakutumia mkoa wowote ulipo ndani ya Tanzania, pia ata nje ya Tanzania tunatuma mzigo na unafika vizuri.



Office zetu zipo Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Simu:

+255 789 08 19 72 (WhatsApp)
+255 737 35 86 89

Email:
[email protected]

YouTube: https://youtu.be/Yd1kfmho0ac

Website link: https://joackcompany.business.site/

Google location: https://maps.app.goo.gl/C2XiH7ppmYe6pq7Q9

🇹🇿

JOACK Company LTD | DSM & Bagamoyo

TUNATOA HUDUMA YA KUCHORA RAMANI ZA MABANDA YA MIFUGO, MAJOSHO, MACHINJIO NKPIA TUNATENGEZA MABANDA BORA YA MIFUGO MBALI...
22/01/2024

TUNATOA HUDUMA YA KUCHORA RAMANI ZA MABANDA YA MIFUGO, MAJOSHO, MACHINJIO NK

PIA TUNATENGEZA MABANDA BORA YA MIFUGO MBALIMBALI K**A KUKU, SUNGURA, NG'OMBE, NK WE CONSTRUCT ANIMAL HOUSES

Call/Text/WhatsApp: +255 712 25 31 02



Tupo wazi kuanzia saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku.

Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar es salaam na Bagamoyo.

Tofauti na mabanda, tunaandaa michoro kwajili ya machinjio, runch na majosho

chini ya ni wataalamu wenye uzoefu wa kutosha kwenye ujenzi wa mabanda ya mifugo k**a kuku, ng'ombe, Mbuzi, Sungura, nk.

Tunao mafundi walio bobea kwenye ujenzi wa mabanda wakishirikiana na wataalamu wetu wa mifugo.

Huduma hii ya kujengewa mabanda unapata ukiwa mahali popote unachotakiwa kufanya ni kuwasiliana nasi kupitia

Office zetu zipo - Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa

Simu:
+255 712 25 31 02 (WhatsApp)
+255 692 43 02 63

Email:
[email protected]

YouTube: https://youtu.be/Yd1kfmho0ac

Website link: https://joackcompany.business.site/

Google location: https://maps.app.goo.gl/C2XiH7ppmYe6pq7Q9

🇹🇿

JOACK COMPANY LTD DSM & BAGAMOYO

TUNAUZA UDONGO MAALUMU (Cocopeat) WA KUOTESHEA MBEGU, MAUA YA BUSTANI, NKWE ARE SELLING COCOPIT BLOCK 5Kg | PLANTING SOI...
12/01/2024

TUNAUZA UDONGO MAALUMU (Cocopeat) WA KUOTESHEA MBEGU, MAUA YA BUSTANI, NK

WE ARE SELLING COCOPIT BLOCK 5Kg | PLANTING SOIL | TREATED SOIL | SPECIAL SOIL

Cocopeat 1Kg Bei ni 2,000Tsh
Block ya 5Kg ni 10,000Tsh

Call/Text/WhatsApp: +255 789 08 19 72



Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

Ofisi zipo Tegeta Wazohill-Dar salaam na Bagamoyo

Cocopit ni udongo maalumu unaotumika kuoteshea miche/mbegu kabla ya kuipanda/kuhamishia shambani.

Udongo wetu wa Cocopeat, upo katika mfumo wa block (tofali), ambapo kila block ina uzito wa kilo 5.

Huu udongo unatumika pia kwenye kuoteshea maua mbalimbali kwajili ya bustani.

Faida za huu udongo ni kwamba hauna wadudu wala vimelea wa magonjwa vinavyoweza kuharibu mbegu.

Faida nyingine ya huu udongo, una PH sahihi na madini ambayo yanaruhusu mbegu yoyote kuota.

Udongo huu ni mlaini na unaruhusu hewa kuingia na kutoa ambayo husaidia kuota kwa mbegu, pia unaruhusu mizizi kupenya kwa urahisi.

Udongo unauwezo wa kutunza unyevu kwa mda mrefu.

Udongo huu unatumika sambamba na zile trei za kuoteshea mbegu, ukitumia huu udongo na trei mbegu zako hazita kufa.



Office zetu zipo -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa

Simu:
+255 789 08 19 72 (WhatsApp)
+255 737 35 86 89

Email:
[email protected]

YouTube: https://youtu.be/UxLyLqHtfnw

Website link: https://joackcompany.business.site/

Google location: https://maps.app.goo.gl/C2XiH7ppmYe6pq7Q9

🇹🇿

JOACK Company LTD | DSM & BAGAMOYO

TUNAUZA MASHINE YA KUCHANGANYA CHAKULA CHA MIFUGO KILO 200 KWA MARA MOJAFEED MIXER MACHINE | CAPACITY 200KgBei ni: 2,000...
12/01/2024

TUNAUZA MASHINE YA KUCHANGANYA CHAKULA CHA MIFUGO KILO 200 KWA MARA MOJA

FEED MIXER MACHINE | CAPACITY 200Kg

Bei ni: 2,000,000/=

Call/Text/WhatsApp: +255 789 08 19 72



Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill Dar es salaam na Bagamoyo.

Masaa yetu ya kazi ni kila siku, saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku.

FEED MIXER MACHINE 200Kg hii ni mashine maalumu ya kuchanganya chakula cha mifugo.

Mashine hii ina uwezo mzuri wa kuchanganya chakula cha mifugo na kikachanganyika vizuri.

Mashine inauwezo wa kuchanganya kiasi cha kilo 200 kwa mara moja.

Mashine hii inatumia umeme wa majumbani, ni single phase type na ina mota yenye uwezo mzuri wa kuzungusha mashine.

Mashine imeundwa kwa kutumia stainless steel hivyo haipati kutu, usijali kabisa kuhusu kutu.

Mashine ina matairi, hivyo ni rahisi kuiamisha kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine Kwa kuisukuma.

Karibu sana JOACK Company LTD ujipatie vifaa vya kisasa kwajili ya ufugaji wa kisasa wenye kuleta tija na matokeo mazuri.



Office zetu zipo - Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa

Simu:
+255 789 08 19 72 (WhatsApp)
+255 737 35 86 89

Email:
[email protected]

YouTube: https://youtu.be/Yd1kfmho0ac

Website link: https://joackcompany.business.site/

Google location: https://maps.app.goo.gl/C2XiH7ppmYe6pq7Q9

🇹🇿

JOACK Vet Center JOACK Company Limited

TUNAUZA INCUBATOR | MASHINE ZA KUTOTOLESHEA MAYAI | MASHINE ZA KUANGULIA VIFARANGACall/Text/WhatsApp: +255 789 08 19 72O...
11/01/2024

TUNAUZA INCUBATOR | MASHINE ZA KUTOTOLESHEA MAYAI | MASHINE ZA KUANGULIA VIFARANGA

Call/Text/WhatsApp: +255 789 08 19 72

Ofa free Drinker free Feeder

Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

Zipo mashine zinazotumia umeme, solar na betry (16 - 112 eggs incubator) - vyote kwa pamoja.

Hizi incubator tunaagiza CHINA, zina ubora tofauti na incubator za kutengeneza.

Za kutengeneza wanatumia MBAO AU MALINYI BODI ambazo zikipata unyevu au maji maji zinaaribika na kuoza.

BEI ZA INCUBATOR
01. Mashine ya mayai 16 Bei: 150,000/=
02. Mashine ya mayai 24 Bei: 180,000/=
03. Mashine ya mayai 60 Bei: 300,000/=
04. Mashine ya mayai 120 Bei: 450,000/= - Plastic

05. Mashine ya mayai 120 Bei: 650,000/= - Body
06. Mashine ya mayai 176 Bei: 780,000/=
07. Mashine ya mayai 264 Bei: 980,000/=
08.Mashine ya mayai 352 Bei: 1,100,000Tsh
09.Mashine ya mayai 440 Bei: 1,300,000/=
10. Mashine ya mayai 528 Bei: 1,500,000/=
11. Mashine ya mayai 1,056 Bei: 1,800,000/=
12. Machine ya mayai 1,584 Bei: 2,300,000/=
13. Machine ya mayai 2,112 Bei 2,700,000/=
14. Mashine ya mayai 3,168 Bei: 3,700,000/=
15. Mashine ya mayai 4,224 Bei: 4,300,000/=
16. Mashine ya mayai 5,280 Bei: 4,900,000/=
17. Mashine ya mayai 10,000 Bei: 13,500,000/=

Pia tunauza spear / Vifaa vya kutengenezea incubator:- Tray, Controller, Limit switch, Baskect tray, Motor, Heater tube, Humidity tube, Humidifier n.k



Office zetu zipo -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa

Simu:
+255 789 08 19 72 (WhatsApp)
+255 737 35 86 89

Email:
[email protected]

🇹🇿

JOACK Company LTD | DSM & BAGAMOYO

JOACK COMPANY LTD INAWATAKIA KHERI YA SIKUU YA MAPINDUZI YA ZAN WATEJA NA WADAU WAKE WOTE HAPPY ZANZIBAR REVOLUTION DAY ...
11/01/2024

JOACK COMPANY LTD INAWATAKIA KHERI YA SIKUU YA MAPINDUZI YA ZAN WATEJA NA WADAU WAKE WOTE

HAPPY ZANZIBAR REVOLUTION DAY #2024

Tunawakaribisha sana JOACK COMPANY LTD

JOACK Company Limited hii ni kampuni iliyosailiwa Tanzania, kwa lengo la kutoa huduma mbalili mbalili zinazohusiana na maswala ya kilimo na mifugo.

Call/Text/WhatsApp: +255 789 08 19 72



Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar es salaam na Bagamoyo.

MIFUGO...
Kwenye mifugo () kampuni inajihusisha na uuzaji wa bidhaa za mifugo lakini pia kutoa huduma mbalili za mifugo.

Huduma zinazotolewa na JOACK
1. Ushauri/Elimu juu ya ufugaji kibiashara (ufugaji wenye tija)
2. Chanjo na matibabu ya mifugo aina zote.
3. Kutembelea mashamba ya mifugo (farm visit)
4. Usimamizi wa mashamba ya mifugo
5. Kutafuta masoko ya bidhaa za mifugo.
6. Uadaaji wa bajeti za ufugaji
7. Furmigation service

Bidhaa patiakana JOACK
1. Vifaa vya ufugaji (vipo vya aina nyingi)
2. Mashine, mf: mashine za kuaguliavifaranga, mashine za kuchakata majani, nk
3. Vifaa vya incubator
4. Chanjo na madawa ya mifugo.
5. Vifaranga
6. Wanyama hai, mf: mbwa, paka, ng'ombe, nk

KILIMO...
Kampuni pia inajihusisha na maswala ya kilimo, k**a unapenda kufahamu zaidi kuhusu kilimo tembelea hii page



Office zetu zipo -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa

Simu:
+255 789 08 19 72 (WhatsApp)
+255 737 35 86 89

Email:
[email protected]

🇹🇿

JOACK Company LTD | DSM & BAGAMOYO

OFAA OFAA TUMESHUSHA BEI YA TREI ZA BOX/TREI ZA MAKARATASI | BANDO MOJA YA PISI 100 NI 16,000Tsh Tu.Bei ya trei ni 160Ts...
04/01/2024

OFAA OFAA TUMESHUSHA BEI YA TREI ZA BOX/TREI ZA MAKARATASI | BANDO MOJA YA PISI 100 NI 16,000Tsh Tu.

Bei ya trei ni 160Tsh | Bando ni 16,000/= Ndani ya week tu. Hii ni Ofa ya muda mfupi...

Call/Text/ WhatsApp: +255 789 08 19 72



Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar es salaam na Bagamoyo.

Yaani bei ya trei moja ni 160Tsh na kwenye bando moja zinakaa pisi 100 hivyo bando moja ni 18,000Tsh Tu.

JOACK EGGS PAPER TRAY hizi ni aina za trei kwajili ya kuwekea mayai, aina hii ya trei huwa zinatengenezwa kwa kutumia malighafi itokanayo na makaratasi au maksi.

SIFA ZA TREI TUPU KUTOKA JOACK COMPANY.

01.Hazivunji mayai unaweza kuzitumia kusafirishia hadi mkoani.

02.Hata zikiloa Unaweza kuzianika na kutumia tena

03.Unaweza kuzitumia maranyingi.

Kwetu ndio sehemu pekee utapata trei tupu kwa gharama nafuu, watu wengi wa Kariakoo wananunua kiwandani kwetu.

Kwa wateja wa mikoani, mizigo mtatumiwa kokote mlipo kwa gharama nafuu sana..



Office zetu zipo Tegeta, Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa

Simu:
+255 789 08 19 72 (WhatsApp)
+255 692 43 02 63

Email:
[email protected]

YouTube: https://youtu.be/Yd1kfmho0ac

Website link: https://joackcompany.business.site/

Google location: https://maps.app.goo.gl/C2XiH7ppmYe6pq7Q9

🇹🇿

Welcome JOACK Company LTD| DSM & BAGAMOYO

FLOWER DOG SHAMPOO | ANT BACTERIA DOG SHAMPOO | SABUNI NZURI YA KUOSHEA MBWACall/Text/WhatsApp: +255 789 08 19 72      M...
14/12/2023

FLOWER DOG SHAMPOO | ANT BACTERIA DOG SHAMPOO | SABUNI NZURI YA KUOSHEA MBWA

Call/Text/WhatsApp: +255 789 08 19 72



Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

Ofisi zetu zipo Tegeta-Wazohill Dar es salaam na Bagamoyo

BEI ZETU ZA DUDUKRIN DOGS SHAMPOO KULINGANA NA UJAZO

ITALIAN TRIGERSPRAY
Ujazo: 500ml Bei ni 5,000
Ujazo: 1L Bei ni 10,000

DUDUKRIN ORIGINAL DOG SHAMPOO
Ujazo: 250ml Bei ni 10,000
Ujazo: 500mls Bei ni 25,000
Ujazo: 1L Bei ni 35,000

ANTBACTERIAL DOG SHAMPOO
Ujazo: 300mls Bei ni 9,000Tsh
Ujazo: 500mls Bei ni 11,000Tsh
Ujazo: 1L - Bei ni 20,000Tsh

DUDU KRIN SUPER & GENTEL
Ujazo: 250mls Bei ni 17,000Tsh
Ujazo: 500mls Bei ni 25,000Tsh

Hizi ni dog shampoo ambazo inauwezo wa kutoa uchafu wote kwa mbwa kiurahisi, pia hii shampoo inaacha harufu nzuri kwa mbwa/paka wako.

Flower Dog Shampoo ina dawa ambayo inauwezo mkubwa wa kuua bakteria.



Office zetu zipo Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa

Simu:
+255 789 08 19 72 (WhatsApp)
+255 37 35 86 89

Email:
[email protected]

YouTube: https://youtu.be/Yd1kfmho0ac

Website link: https://joackcompany.business.site/

Google location: https://maps.app.goo.gl/C2XiH7ppmYe6pq7Q9

joackcompany
🇹🇿

Mifugo Tz | JOACK Pet Store | DSM & BAGAMOYO

TUNAUZA NIPO ZA KUNYWESHEA MAJI NGURUWE KWA BEI NAFUU | WE ARE SELLING PIG NEEPLES - AUTOMATIC PIG DRINKERBei ni 3,500Ts...
14/12/2023

TUNAUZA NIPO ZA KUNYWESHEA MAJI NGURUWE KWA BEI NAFUU | WE ARE SELLING PIG NEEPLES - AUTOMATIC PIG DRINKER

Bei ni 3,500Tsh - Jumla

Call/Text/WhatsApp: +255 789 08 19 72



Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku

Tuwe makini na hizi Pig drinkers, zipo original na fake, hakikisha unapata hii bidhaa kwenye kampuni zinazoeleweka eleweka.

Nguruwe anahitaji maji “safi” na ya kutosha ili aweze kula kupooza mwili na kua na afya.

Ukifunga drinkers utahakikisha wanyama wako wanapata maji safi kutok.

Nguruwe anahitaji maji “safi” na ya kutosha ili aweze kula kupooza mwili na kua na afya.

Ukifunga drinkers utahakikisha wanyama wako wanapata maji safi kutoka kwenye tank na kwa kiwango wanachohitaji.

Ukiweka maji kwenye vyombo wale nguruwe huyakanyaga na kukojolea n.k mara zote utayakuta machafu na kufanya wasinywe hivyo kupunguza ulaji pia.

Mahitaji ya maji kwa wanyama Miezi mi 3 ni lita 5, wanaonyonyesha ni lita 25, wa mwaka 1 ni lita 12.

Drinker moja inahudumia wanyama 3-5.



Huduma zetu utapata ukiwa mkoa wowote Tanzania au nje ya Tanzania, na bidhaa tunakutumia ukiwa mahali popote.

Jiunge nasi kwenye WhatsApp groups ukutane na familia ya wafugaji

Kujiunga tutumie jina lako kwenye 0712253102

Kuhusu kampuni yetu follow

Kuhusu Kilimo follow

Office zetu zipo - Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa

Simu:
+255 789 08 19 72 (WhatsApp)
+255 37 35 86 89

Email:
freemarkettz@gma

YouTube: https://youtu.be/Yd1kfmho0ac

Website link: https://joackcompany.business.site/

Google location: https://maps.app.goo.gl/C2XiH7ppmYe6pq7Q9

🇹🇿

JOACK.......

TUNAUZA VYOMBO VYA KISASA VYA KUNYWEA MAJI NG'OMBE, FARASI, PUNDA, NK | COW AUTOMATIC DRINKERAutomatic Animal Water Trou...
14/12/2023

TUNAUZA VYOMBO VYA KISASA VYA KUNYWEA MAJI NG'OMBE, FARASI, PUNDA, NK | COW AUTOMATIC DRINKER

Automatic Animal Water Trough | Automatic Cattle Water Trough

Call/Text/WhatsApp: +255 789 08 19 72



Tupo wazi kila siku kuanzia, saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm).

Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar es salaam na Bagamoyo

Automatic Cattle Water Trough ni chombo maalum unachoweza kuunga kwenye mfumo waji na kutumika kwajili ya kunyweshea maji mifugo.

Hiki chombo unaunganisha moja kwa moja kwenye tank au mfumo wowote wa maji na maji yatakuwa yanaingia moja kwa moja kwenye hiki chombo.

Hiki chombo kina water switch system ambayo inafunga maji automatically yanapo jaaa, hivyo hayawezi kumwagika bandani.

Hiki chombo kinaweza kujaza maji Lita 2 kwa mara moja

Ng'ombe anahitaji maji “safi” na ya kutosha ili aweze kula, kupooza mwili na kua na afya.

Ukifunga Automatic Cattle Water Trough utahakikisha wanyama wako wanapata maji safi kutoka kwenye source moja kwa moja.

Ukiweka maji kwenye vyombo wale ng'ombe huyakanyaga na kukojolea n.k mara zote utayakuta machafu na kufanya wasinywe hivyo kupunguza ulaji pia.

Faida ya kutumia huu mfumo ni kwamba unapunguza hatari ya magonjwa kwa kiasi kikubwa.



Office zetu zipo - Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa

Simu:
+255 789 08 19 72 (WhatsApp)
+255 37 35 86 89

Email:
[email protected]

YouTube: https://youtu.be/Yd1kfmho0ac

Website link: https://joackcompany.business.site/

Google location: https://maps.app.goo.gl/C2XiH7ppmYe6pq7Q9

🇹🇿

JOACK Company LTD | BAGAMOYO & DSM

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Freemarket Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Freemarket Tanzania:

Share