Afya Za Wanyama Tanzania

Afya Za Wanyama Tanzania This page is allowing farmers to learning all about diseases and major controls straight forward to

we draft the business plan corncerning to veterinary services like starting farm and abottour

03/05/2023

UMO BATIKI
Habari mpya Kwa wafugaji ni kupendeza na batiki nzuri na bei nafuu
+255753709062
+255621059278

Haya Sasa wafugaji na wajasiriamali kazi kwenu...Tunakwambia mfugaji ni KUPENDEZA na UMO BATIKI!Hawa ni watengenezaji wa...
03/05/2023

Haya Sasa wafugaji na wajasiriamali kazi kwenu...
Tunakwambia mfugaji ni KUPENDEZA na UMO BATIKI!

Hawa ni watengenezaji wa batiki bomba kabisa zilizo na kiliwango Cha hali ya juu k**a unavyoona...

Wanapatikana Dar es salaam na Mikoani wanatuma Kwa UAMINIFU mkubwa.
Pia unaweza ukatoa oda na sample ya batiki au kikoi na wakakutengenezea Kwa haraka na Kwa bei nafuu sana!

Hebu wapigie na uwaulize chochote kuhusu batiki na vikoi nao watakujibu Kwa haraka na bashasha kwelikweli
+255753709062
+255621059278

Mfugaji tunakwambia hivi "Vaa, pendeza Kisha tukafuge!

04/04/2023

TATIZO LA HENIA KWA NG'OMBE
(Umbilical Hernia).

Henia hutokea Kwa wanyama wa aina mbalimbali ikiwemo ng'ombe, mbuzi na kondoo.

AINA ZA HENIA.
Kuna aina nyingi, ila hapa tumekuletea henia eneo la kitovu(umbilical hernia).

UTOKEAJI WAKE.
Henia husababishwa na mambo mengi yakiwemo kurithi, ugonjwa au kujeruhiwa na kitu cha ncha butu au kali.

KUDHIBITI.
Katika kudhiti, unaweza ukadhibiti henia itokanayo na kujeruhiwa, lakini hizo zingine inakuwa ngumu KUDHIBITI, Kwa mfano yakurithi.

TIBA
Hakuna tiba ya uhakika kutibu henia isipokuwa kupanya upasuaji(Surgery).

ZINGATIA.
Unapoona uvimbe wowote Kwa mnyama wako, epuka kutoboa, kuchoma Kwa kitu cha ncha Kali au namna yoyote itakayoleta athari Kwa mnyama. Toa taarifa kwa mtaalamu wa mifugo aliyekaribu nawe au wasiliana nasi kwa msaada zaidi.
+255784244081

01/01/2023

Kuanzia wiki hii tutaanza masomo mbali mbali ya magonjwa ya minyoo ya mbwa na paka.

ni kati ya ugongonjwa tutakaouchambua kiundani sana. Mbwa huyo anayeonekana kwenye picha ameathirika na ugongonjwa huo kwa kiasi kikubwa.

K**a utakuwa na maoni kuelekea mada za magonjwa yatokanayo na minyoo, tungependa tupate mawazo yako tafadhali kwa kuacha comment yako hapa au kujumbe mfupi kupitia namba 0784244081.

01/01/2023

Athari za minyoo kwa paka

01/01/2023

Tazama
Namna minyoo inavyoweza kuleta madhara kwa mbwa wako na huenda ikapelekea kifo

Afya Za Wanyama Tanzania tunawatakia wafugaji wetu wote heri ya mwaka mpya 2023.Tuanze mwaka tukiwa na nguvu mpya, hari ...
31/12/2022

Afya Za Wanyama Tanzania tunawatakia wafugaji wetu wote heri ya mwaka mpya 2023.

Tuanze mwaka tukiwa na nguvu mpya, hari mpya na matamanio mapya katika ufugaji wenye tija.

Pia tunakuomba wewe mfugaji wetu na mteja wetu unayefuatilia ukurasa huu utushauri juu ya makala au machapisho yetu tuongeze nini na tupunguze nini.

Unaweza tutumia ujumbe wako kwa njia ya ujumbe mfupi kwa namba 0784244081 au ukaweka comment yako hapa huku ukitaja mahali ulipo.

Ahsanteni!

11/08/2022

PARADUNDO YA KUKU.
(Avian Paratyphoid)

Kwa mara nyingi wafugaji na baadhi ya watu wamekuwa wakishindwa kutofautisha magonjwa.

Kuna huu ugonjwa unafahamika k**a TAIFODI(Typhoid) na huu unaojulikana kwa jina la PARATAIFODI(Paratyphoid). Haya ni magonjwa mawili tofauti lakini yanasababiswa na aina moja ya mazingira wakati bakteria anayeeneza magonjwa hayo pia ni tofauti, ambaye ni Salmonella paratyphi kwa ugonjwa wa paratyphoid na Salmonella typhi kwa ugonjwa wa typhoid.

SABABU YA UGONJWA.
Mara zote sababu za magonjwa ya tumbo kwa wanyama hutokana na uchafu pamoja na ungalizi mbaya.

Kinyesi, mabaki ya chakula na taka taka vinapoingia ndani ya maji wanayokunywa kuku, hupelekea chanzo cha ugonjwa huo wa paratyphoid.

UMRI ATHIRIKA.
Vifaranga wenye umri kuanzia wiki tatu na kuendelea, hawa ndiyo hushambuliwa na ugonjwa huo.

DALILI.Kuacha kulaKudhoofuKuharishaKinyesi kuganda kwenye njia ya hajaUkuaji hafifuKujisaidia damuWagonjwa huonekana k**a wanahisi baridi

KINGA.
Zingatia USAFI.
0784244081.

Address

Kibwegere
Dar Es Salaam
UBUNGO

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255784244081

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Za Wanyama Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Afya Za Wanyama Tanzania:

Share

Category