08/06/2026
TUNATIBU NA KUTOA CHANJO KWA WANYAMA NA NDEGE AINA ZOTE
Afya ya mifugo na ndege wako ni msingi wa mafanikio ya ufugaji.
JOACK COMPANY LIMITED tunatoa huduma ya matibabu na chanjo kwa wanyama na ndege wa aina zote kwa uangalizi wa kitaalamu na uzoefu wa mifugo.
_tz
Huduma zetu ni pamoja na:
Matibabu ya magonjwa ya wanyama na ndege
Kutoa chanjo za kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali
Uchunguzi wa afya ya mifugo
Ushauri wa kitaalamu wa matunzo na lishe
Huduma za dharura za mifugo
Tunawahudumia:
Ng’ombe
Mbuzi na kondoo
Kuku, bata na ndege wengine
Mbwa na paka
Wanyama wengine wa kufugwa
Faida kwa mfugaji:
Kupunguza vifo vya mifugo
Kuongeza uzalishaji wa maziwa, nyama na mayai
Kulinda uwekezaji wa mifugo yako
Kuimarisha afya ya mifugo kwa ujumla
Chagua huduma bora kwa afya ya mifugo yako.
WhatsApp/Simu:
+255 712 25 31 02
+255 692 43 02 63
TUNAPATIKANA
1. Wazohill - Dar es Salaam
Tegeta Wazohill Barabara ya Wazo, karibu na kanisa la KKKT.
Google location;
https://maps.app.goo.gl/PsgwecjBYjpd4cow9?g_st=ac
2. Bagamoyo - Pwani
Kiromo shule, Bagamoyo Pwani.
Google location;
https://maps.app.goo.gl/atyhxFJkqzY8EzHa8?g_st=ac
3. Posta - Dar es salaam
Matasalamat building NHC samora avenue 2nd floor
Google location;
https://maps.app.goo.gl/cMRwKkfKD6H1Ub4W9?g_st=ac
KilimoNaMifugo AgribusinessTZ